Tuesday 17 January 2017

TAREHE 12/7/2016 MAKABITHIANO YA VIFAA VYA USAFI KUTOKA SEMA SAUT KWENDA KWA UTAWALA WA CHUO KATIKA JUHUDI ZA KUYATUNZA MAZINGIRA \




TAREHE 12/7/2016 MAKABITHIANO YA VIFAA VYA USAFI KUTOKA SEMA SAUT KWENDA KWA UTAWALA WA CHUO KATIKA JUHUDI ZA KUYATUNZA MAZINGIRA

Wahusika walikuwa ni Uongozi wa chuo, Idara ya Geografia, Uongozi wa SAUT SEMA , Na watu wa Mazingira hapa chuoni



Mwenyekiti wa SEMA SAUT Bw. PETRO DAUD akitoa neno kwa niaba ya SEMA baada ya makabithiano hayo

Mwakilishi wa Uongozi wa Chuo  Rev. Fr MABULA akitoa neno la shukrani na kupongeza SEMA kwa hatua hiyo.

Mlezi wa SEMA SAUT Mr JOSEPHAT MABUYE AKIONYESHA BAADHI YA DUSTBINS HIZO

Baadhi ya viongozi waliokuwepo ( LOSIYO CHARLES --Secretary & MWANISAWA PAUL --coordinator)




No comments:

Post a Comment

Siku ya mazingira duniani

SAUT-SEMA Life prosperity depends on Environment Siku ya mazingira duniani