Saturday, 28 January 2023

Zoezi la usafi kando ya ziwa Eneo la kigongo feri


Uongozi wa SAUT SEMA chini ya Mwenyekiti``` *LAIZER S. NYUNGU* ```unawapongeza wanachama wake waliofanikiwa kushiriki zoezi la usafi uliofanyika leo hii KAMANGA FERRY.

TUNZA MITI PANDA MITI

  Hii ni moja Kati ya harakati kubwa za chama chetu Pinga ukataji WA MITI