Hii ni moja Kati ya harakati kubwa za chama chetu
Pinga ukataji WA MITI
SAUT SEMA: ST. AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA STUDENTS ENVIRONMENTAL MANAGEMENT ASSOCIATION
Uongozi wa SAUT SEMA chini ya Mwenyekiti``` *LAIZER S. NYUNGU* ```unawapongeza wanachama wake waliofanikiwa kushiriki zoezi la usafi uliofanyika leo hii KAMANGA FERRY.
Makamu Mkuu Wa Chuo Upande Wa Taaluma Katika Chuo Cha Saut Pro. Hosea Rwegoshora Amewapongeza Wanachama Wa Saut-Sema Kupitia Kazi Nzuri Ya Maonesho Ya Kitaluma (Community Day ) Chuoni Hapo
SAUTSEMA
LIFE PROSPERITY DEPENDS ON ENVIRONMENT"
SAUT-SEMA